Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tanzania imepanda kwa nafasi moja kwenye viwango vya ubora wa soka Duniani vilivyotolewa na FIFA leo Oktoba 26,2023.
Kutoka nafasi 122 na sasa inashika nafasi ya 121.
Timu 10 za Afrika zilizopo ambazo zipo nafasi za juu Duniani
1.Morocco (13)
2.Senegal (20)
3.Tunisia (32)
4.Algeria (33)
5.Egypt (35)
6.Nigeria (40)
7.Cameroon (43)
8.Mali (47)
9.Ivory Coast (52)
10.Burkina faso (56)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live