Thu, 25 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa Jarida la The Intelligence of Nations by Richard Lynn and David Becker limeeleza kuwa Maendeleo ya taifa au bara fulani yanalinganishwa na matumizi makubwa ya Akili zaidi na Afrika ipo chini Kielimu, Kimiundombinu, Kiutawala katika kila kona.
Intelligence Quotient (IQ) inawakilisha uwezo wa kufikiri wa mtu ikilinganishwa na wastani kwa umri wao. Vipimo vya IQ huanza kutathmini hili kwa kupima kumbukumbu ya muda mfupi na mrefu.
Pia, hupima jinsi watu wanavyoweza kutatua mafumbo (Matatizo yao) vizuri na kukumbuka taarifa walizosikia na kwa haraka kiasi gani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live