Mon, 21 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maafande wa Ruvu Shooting, siku ya jana wameibuka na ushindi wa goli 1-0 katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya, mbele ya maafande wa Tanzania Prisons.
Maafande wa Ruvu Shooting, siku ya jana wameibuka na ushindi wa goli 1-0 katika Uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya, mbele ya maafande wa Tanzania Prisons. Wakati Ruvu Shooting bao lao limefungwa na Hamadi Majimengi dakika ya 44, ushindi ambao unaifanya kufikisha pointi 15 kwenye mechi 15 nafasi ya 12 wakati Prisons inayobaki na pointi zake 11 za mechi 15 sasa inaendelea kushika mkia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live