Fri, 8 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Takwimu za kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' katika misimu yake minne ya mwisho kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara zinatisha;
◍ 2020/21 (Yanga SC)
◉ 18 matches
◉ 5 goals
◉ 0 assists
◍ 2021/22 (Yanga SC)
◉ 26 matches
◉ 6 goals
◉ 5 assists
◍ 2022/23 (Yanga SC)
◉ 15 matches
◉ 6 goals
◉ 2 assists
◍ 2023/24 (Azam FC)
◉ 15 matches
◉ 11 goals
◉ 05 assists
Akiwa katika kiwango bora kabisa msimu huu ameshapachika kambani zaidi ya mabao 10 hadi sasa, huku ikiwa ni mara yake ya kwanza kabisa kufanya hivyo kwenye msimu mmoja wa Ligi Kuu ya Tanzania bara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live