Mon, 24 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United wapo kwenye mazungumzo na wakala wa Joshua Zirkzee juu ya kuhitaji huduma ya mshambuliaji huyo baada mazungumzo yao na klabu ya Bologna Kwenda vizuri.
Klabu ya Manchester United wapo kwenye mazungumzo na wakala wa Joshua Zirkzee juu ya kuhitaji huduma ya mshambuliaji huyo baada mazungumzo yao na klabu ya Bologna Kwenda vizuri. Kama mazungumzo hayo yataaenda vizuri United watalazimika kutoa Euro milioni 40 kwa ajili ya kuinasa Saini ya Mholanzi huyo mwenye miaka 23.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live