Fri, 19 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jason Wilcox ni Mkurugenzi wa Ufundi mpya wa Manchester United . Anajiunga na Man United akitokea Southampton na kabla ya hapo alikuwa mkuu wa Academy wa Manchester City
Mazungumzo kuhusu Dan Ashworth nayo yanaendelea kutua United kuwa Mkurugenzi wa Michezo akitokea Newcastle United
Kazi yake kubwa itakuwa kwenye Usajili , Kuipa timu utambulisho wake , Academy , na pia kutengeneza mipango ya baadae akishirikiana na Wakurugenzi wengine .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live