Thu, 7 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taifa Stars leo Alhamisi ni kufa au kupona tu wakati itakapokuwa kwenye kibarua kizito ugenini dhidi ya Algeria mchezo wa kuwania kufuzu AFCON mwakani.
Hakuna namna zaidi ya Stars kupata sare au kushinda. Nyota wa Stars wanapaswa kupambana kwa machozi, jasho na damu kuhakikisha hilo linatimia.
Kila la kheri wapambanaji
Chanzo: www.tanzaniaweb.live