Tue, 26 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Tanzania inatarajiwa kuweka kambi nchini Misri katika Jiji la Cairo kabla ya kuelekea nchini Ivory Coast kwaajili ya mashindano ya AFCON mapema mwezi January.
Stars ikiwa nchini Misri inatarajiwa kucheza mchezo mmoja wa kirafiki ili kuona kiwango ambacho timu hiyo imefikia
Mchezo wa kwanza wa Taifa Stars kwenye michuano ya AFCON unatarajiwa kipigwa January 17, 2024, dhidi ya timu ya Taifa ya Morocco.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live