Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepangwa kutupa karata yake ya kwanza kwenye fainali za mataifa ya Afrika 2023 zinazofanyika January, 2024 huko Ivory Coast dhidi ya Morocco January 17.
Stars imepangwa katika kundi F sambamba na Timu za Morocco, DR Congo na Timu ya Tafa ya Zambia.
Ratiba ya michezo mingine.
January 17, 2024.
17:00 Morocco vs Tanzania
20:00 DR Congo vs Zambia
January 21, 2024.
14:00 Morocco vs DR Congo
17:00 Zambia vs Tanzania
January 24, 2024.
20:00 Tanzania vs DR Congo
20:00 Zambia vs Morocco
Kwa hesabu za kawaida hapa tunachukua point tatu (3) kwenye mchezo upi ? Tabiri