Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha ameahidi kiasi cha Tshs 50m endapo Tabora Utd itafanikiwa kuiondosha JKT Tanzania kwenye mechi mbili za kuepuka kushuka daraja.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha ameahidi kiasi cha Tshs 50m endapo Tabora Utd itafanikiwa kuiondosha JKT Tanzania kwenye mechi mbili za kuepuka kushuka daraja. Mechi ya kwanza itapigwa leo Juni 4 Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Marudiano ni Juni 8 Isamuhyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live