Wed, 17 Jan 2024
Chanzo: Mwanaspoti
Klabu ya Tabora United imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Patrick Lembo Anfumu ‘Zidane’.
Klabu ya Tabora United imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Patrick Lembo Anfumu ‘Zidane’. Taarifa ya Nyuki wa Tabora kwa umma imesema:- “Karibu kwenye familia kubwa ya Nyuki wa Tabora, Patrick Lembo Anfumu “Zidane. Nyuki wa Tabora tunategemea mengi mazuri toka kwako”.
Chanzo: Mwanaspoti
Related Articles: