Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Tabora United imemtakia heri aliyekuwa Mkuu wa mkoa huo Balozi Batilda Buriani ambaye Kwa Sasa amehamishiwa mkoa wa Tanga.
"Tunampongeza Kwa kuendelea kuaminiwa na Rais Dr Samia Suluhu Hassan, tunampa shukrani zetu za dhati Kwa mchango wake mkubwa aliotupatia katika kipindi chote alichouongoza mkoa wetu
Klabu yetu inamtakia Kila la heri katika Majukumu yake mapya" Christina Mwagala Ofisa habari Tabora United
Chanzo: www.tanzaniaweb.live