Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka Tanzania ni JKT Queens imetajwa kuwania tuzo ya klabu bora ya mwaka Afrika 2023 upande wa wanawake.
Tuzo hizo za CAF zitatolewa nchini Morocco Desemba 11 huku upande wa klabu wanaume Tanzania ikiwakilishwa na Yanga.
Tazama Wapinzani wa JKT Queens hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live