Thu, 28 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya TP Mazembe wameenda kanisani kwa ajili ya kusali kufuatia mchezo wao wa Robo fainali dhidi ya Petro Atletico De Luanda.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa siku ya jumamosi katika dimba la Stade TP Mazembe majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Je timu unayoishabikia inafanyaga ibada?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live