Tue, 21 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu tano ambazo zimetwaa ubingwa bila ya kufungwa mechi hata moja katika historia ya Ligi Tano kubwa za Ulaya.
AC Milan, msimu wa 1991/92 - imeshinda mechi 22 na sare mechi 12 katika mechi 34.
Arsenal, msimu wa 2003/04 - imeshinda mechi 26 na sare mechi 12 katika mechi 38.
Juventus, msimu wa 2011/12 - imeshinda mechi 23 na sare mechi 15 katika mechi 38.
Leverkusen msimu wa 2023/24 - waneshinda mechi 28 na na kutoka sare mechi 6 katika mechi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live