Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya jeshi la maafande wa Magereza, Tanzania Prisons imenyakua tuzo ya timu yenye nidhamu msimu wa 2021/2022 katika usiku huu wa tuzo za TFF zinazofanyika katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam.
Timu ya jeshi la maafande wa Magereza, Tanzania Prisons imenyakua tuzo ya timu yenye nidhamu msimu wa 2021/2022 katika usiku huu wa tuzo za TFF zinazofanyika katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live