Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hafla ya utoaji wa Tuzo za TFF kwa msimu wa 2021/2022 inafanyika usiku huu katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam.
Makundi matatu ya tuzo kushindaniwa katika upande wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (TPL), Ligi Kuu ya Wanawake (SWPL) na Kombe la Shirikisho (ASFC).
Jumla ya Tuzo zisizopungua 56 zinatarajiwa kushindaniwa usiku wa leo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live