Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Yanga raia wa Congo Fiston Mayele amenyakua tuzo ya goli bora la msimu Ligi Kuu bara 2021/2022.
Mshambuliaji wa Yanga raia wa Congo Fiston Mayele amenyakua tuzo ya goli bora la msimu Ligi Kuu bara 2021/2022. Goli la Mayele dhidi ya Biashara United ya Mara ndilo lililoshinda tuzo usiku huu katika hafla ya utoaji wa tuzo za TFF.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live