Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kati wa Simba SC, raia wa Congo Henock Inonga Baka amenyakua tuzo ya beki bora wa Ligi Kuu Tanzania bara 2021/2022.
Mlinzi wa kati wa Simba SC, raia wa Congo Henock Inonga Baka amenyakua tuzo ya beki bora wa Ligi Kuu Tanzania bara 2021/2022. Inonga amebeba tuzo hiyo akiwapiku mabeki wa Yanga Djuma Shaban na Bakari Mwamnyeto ambao alikuwa akiwania nao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live