Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TFF watolea ufafanuzi pesa za Mtibwa Sugar

31665 PIC+MTIBWA KATIBU mkuu (TFF), Wilfred Kidao

Fri, 14 Dec 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

KATIBU mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Wilfred Kidao amezitolea ufafanuzi pesa za bingwa wa kombe la Azam Federation Cup.

Tangu Mtibwa wawe mabingwa wa kombe hilo mwaka jana, baad ya kuifunga Singida Utd katika kombe hilo, hawakupewa zawadi yao huku taarifa zikiibuka kwamba Shirikisho hilo limepewa pesa na wamezitumia kwa matumizi mengine.

Kidao alisema kwamba amekuwa akishangazwa na maneno yanayosambaa kuhusu kutajwa Shirikisho hilo limepokea pesa za mshindi wa kombe la Azam Federation Cup na wamezitumia kwa matumizi mengine.



Chanzo: mwananchi.co.tz