Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia Rais wake Wallace Karia, limesaini mkataba wa ushirikiano na Saudi Arabia utakaogusa maeneo mbalimbali ikiwemo utawala, ufundi, timu za taifa, waamuzi, miundombinu, mashindano na ligi, mpira wa miguu wa wanawake, soka la vijana pamoja na soka la ufukweni.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia Rais wake Wallace Karia, limesaini mkataba wa ushirikiano na Saudi Arabia utakaogusa maeneo mbalimbali ikiwemo utawala, ufundi, timu za taifa, waamuzi, miundombinu, mashindano na ligi, mpira wa miguu wa wanawake, soka la vijana pamoja na soka la ufukweni. Mkataba huo umesainiwa na Rais Karia na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Saudi Arabia, Yasser Al Misehal.