Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) limepanga kuendesha Semina ya Kukumbusha Usajili na Uhamisho katika mtandao wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) ambayo itafanyika Julai 13 Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Soma kwa kirefu Taarifa ya TFF hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live