Sun, 8 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tetesi zinasema kuwa mshambuliaji wa Klabu ya Dux Logrono na timu ya Taifa ya Tanzania, Clara Luvanga huenda akajiunga na klabu ya Al Nassr ya wanawake kwa dirisha lijalo la usajili.
Tetesi zinasema kuwa mshambuliaji wa Klabu ya Dux Logrono na timu ya Taifa ya Tanzania, Clara Luvanga huenda akajiunga na klabu ya Al Nassr ya wanawake kwa dirisha lijalo la usajili. Ikumbukwe klabu ya Al Nassr ya wanaume inatumikiwa na nyota wa timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live