Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imefikia makubaliano ya kumsajili beki wa kushoto wa Klabu ya St. Lupopo na Timu ya Taifa ya DR Congo, Chadrack Boka ili kuwa mrithi wa Joyce Lomalisa ambaye ataondoka mwishoni mwa Msimu huu.
Klabu ya Yanga imefikia makubaliano ya kumsajili beki wa kushoto wa Klabu ya St. Lupopo na Timu ya Taifa ya DR Congo, Chadrack Boka ili kuwa mrithi wa Joyce Lomalisa ambaye ataondoka mwishoni mwa Msimu huu. Boka (24) anasifika kwa uwezo mkubwa wa kuzuia na kushambulia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: