Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imefungua mazungumzo na kiungo mkabaji Bonaventure Fonseca anayekipiga Teungueth Fc ya Senegal.
Klabu ya Yanga imefungua mazungumzo na kiungo mkabaji Bonaventure Fonseca anayekipiga Teungueth Fc ya Senegal. Mazungumzo ya awali yamefanyika na mchezaji amevutiwa na uhamisho huo. Yanga wataanza mazungumzo na Teungueth hivi karibuni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: