Mon, 3 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga wapo kwenye mchakato wa kuinasa saini ya Beki wa kulia wa Mlandege ya Zanzibar Abdallah Lanso.
Lanso ambae alionesha kiwango kikubwa katika mashindano ya Mapinduzi Cup msimu uliopita akiwa na Mlandenge ambao walikuwa mabingwa.
Kama mambo yasipobadilika basi Yanga watamsajili Lanso kwenye dirisha hili kubwa la usajili .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live