Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TETESI: Yanga kumpa "Thank you" Lomalisa

Lomalisa Control Mlinzi wa kushoto wa Yanga, Joyce Lomalisa

Wed, 13 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mlinzi wa kushoto wa Yanga, Joyce Lomalisa anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Klabu ya Yanga.

Kwa mujibu wa taarifa Yanga haitamuongezea mkataba mwingine watamuacha aondoke, Joyce Lomalisa alishapanga mwishoni mwa msimu aondoke na kutimkia Afrika Kusini.

Unadhani Yanga wanapaswa kumuacha mlinzi huyo raia wa Congo kwa sasa? Tupe maoni yako

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: