Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TETESI: Wachezaji Stars wagoma kuripoti Timu ya Taifa

Msuva Mnogaaa TETESI: Wachezaji Stars wagoma kuripoti Timu ya Taifa

Thu, 30 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Taarifa ambazo hazijathibitika zinasema, Wachezaji wa Taifa stars, Haji Mnoga na Simon Msuva wamekataa kujiunga na kambi ya timu ya Taifa huko Indonesia kwa ajili ya maandalizi ya mechi dhidi ya Zambia.

Msuva amesema amecheza sana hivyo amechoka anahitaji kupumzika,huku Haji mnoga akisema kwa sasa yupo likizo na Familia yake nchini Misri anakula kuku.

Ikumbukwe siku moja kabla ya timu kusafiri Kibu Denis alikataa akidai anaenda likizo marekani kupumzika.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live