Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa Klabu ya Kaizer Chiefs unafikiria kuununua Mkataba wa Miaka miwili wa Kocha wa AS FAR Rabat, Nasreddine Nabi ili wamwajiri kwenye Klabu hiyo kuchukua nafasi Molefi Ntseki aliyefukuzwa hivi karibuni.
Uongozi wa Klabu ya Kaizer Chiefs unafikiria kuununua Mkataba wa Miaka miwili wa Kocha wa AS FAR Rabat, Nasreddine Nabi ili wamwajiri kwenye Klabu hiyo kuchukua nafasi Molefi Ntseki aliyefukuzwa hivi karibuni. Klabu ya Kaizer Chiefs imeanza msimu vibaya ikiwa na matokeo mabovu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live