Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa kutoka ndani ya Uongozi wa klabu ya Coastal Union ni kuwa umefikia makubaliano rasmi ya kusitisha mkataba na Kocha wao Mkuu Raia wa Congo DR, Mwinyi Zahera baada ya kutoridhishwa na kiwango cha Timu hiyo tangu akabidhiwe majukumu ya kukionoa.
Takwimu za Kocha Zahera akiwa na Coastal Union
Michezo 5
Ushindi 0
Sare
Kufungwa 3
Katika alama 15 Papaa mwinyi zahera ameambulia alama 2 pekee ndani ya NBC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live