Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Imefahamika kuwa endapo klab ya Kagera Sugar itapoteza mchezo wao dhidi ya Mtibwa sugar basi uongozi wa klabu hiyo utaachana na kocha wake Meck Mexime.
Imefahamika kuwa endapo klab ya Kagera Sugar itapoteza mchezo wao dhidi ya Mtibwa sugar basi uongozi wa klabu hiyo utaachana na kocha wake Meck Mexime. Kagera Sugar na Mtibwa Sugar watacheza leo katika Uwanja wa Manungu Turiani Morogoro.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live