Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kukataa kumuuza mshambuliaji Cristiano Ronaldo, hatimaye Manchester United imesalimu amri na sasa ipo tayari kumpiga bei Mreno huyo kwa kiasi kisichopungua euro milioni 15.
Baada ya kukataa kumuuza mshambuliaji Cristiano Ronaldo, hatimaye Manchester United imesalimu amri na sasa ipo tayari kumpiga bei Mreno huyo kwa kiasi kisichopungua euro milioni 15. United imekubali yaishe baada ya shinikizo la nyota huyo wa zamani wa Real Madrid kutaka kuondoka huku akishindwa kutokea mazoezini kwa siku ya nne.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live