Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha wa klabu ya Namungo FC ya Lindi, Denis Kitambi ameachana na klabu hiyo.
Jana (Jumatatu) baada ya mazoezi alipata muda wa kuwaaga wachezaji na Viongozi wa klab hiyo na kuwatakia kheri katika michezo yao ijayo.
Kitambi alichukua majukumu ya kuinoa Namungo FC baada ya kuondoka kwa Kocha Cedrick Kaze.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: