Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TETESI: Kocha Dodoma Jiji aingia mitini

Melis Medo Dodoma.jpeg Melis Medo

Wed, 22 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Makubaliano ya Pande zote mbili yamefikiwa baina ya kocha Mellis Medo na Uongozi wa klab ya Dodoma Jiji juu ya kuachana.

Taarifa za kuaminika zimethibitisha kuwa kocha Mellis Medo amepata klabu ya kufundisha yenye maslahi bora zaidi Uarabuni.

Kwasasa Dodoma Jiji ipo chini ya Kocha Msaidizi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: