Sat, 27 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga ilishamalizana na uongozi wa klabu ya Singida Fountain Gate (majuma kadhaa yaliyopita) na sasa Umefikia makubaliano ya kimaandishi/Mkataba wa Miaka 3 na Mlinzi wao wa kushoto Nickson Kibabage baada ya ule wa Mkopo Kuisha.
Klabu ya Yanga ilishamalizana na uongozi wa klabu ya Singida Fountain Gate (majuma kadhaa yaliyopita) na sasa Umefikia makubaliano ya kimaandishi/Mkataba wa Miaka 3 na Mlinzi wao wa kushoto Nickson Kibabage baada ya ule wa Mkopo Kuisha. Sasa Kibabage ataendelea kusalia Yanga mpaka 2027.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: