Wed, 28 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Singida Fountain Gate umeendeleza harakati za usajili na sasa unaelezwa kukamilisha uhamisho wa beki wa kulia, Kelvin Kijili aliyekuwa anacheza KMC.
Uongozi wa klabu ya Singida Fountain Gate umeendeleza harakati za usajili na sasa unaelezwa kukamilisha uhamisho wa beki wa kulia, Kelvin Kijili aliyekuwa anacheza KMC. Kijili inaripotiwa kupewa mkataba wa miaka miwili kuitumikia Singida Fountain Gate msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live