Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
James Akaminko kutimkia Simba kwenye dirisha dogo , na hii ni baada ya kuwa na maelewano mabovu na kocha wake Yusufu Dabo.
James Akaminko kutimkia Simba kwenye dirisha dogo , na hii ni baada ya kuwa na maelewano mabovu na kocha wake Yusufu Dabo. Kwa sasa Akaminko amepoteza nafasi ndani ya kikosi cha Azam Fc na Simba wanaamini wai atawasaidia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live