Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa zinasema kuwa Klabu ya Geita Gold imeachana na aliyekuwa Kocha wake Mkuu Hemed Morocco huku ikifahamika sababu kuwa ni matokeo yasiyoridhisha,
Taarifa zinasema kuwa Klabu ya Geita Gold imeachana na aliyekuwa Kocha wake Mkuu Hemed Morocco huku ikifahamika sababu kuwa ni matokeo yasiyoridhisha, Kwasasa kikosi cha Geita Gold kipo chini ya Kocha Msaidizi huku Uongozi ukiangalia uwezekano wa kusaka Kocha mkuu wa Mpya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live