Mon, 25 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tetesi zinaeleza kuwa ‘klabu’ ya Paris Saint -Germain (PSG) inampango wa kumpa mkataba na kumfanyia vipimo vya Afya mchezaji wa ‘klabu’ ya Sao Paulo FC, Lucas Beraldo.
Inaelezwa kuwa ‘timu’ hiyo inatarajia kulipa ‘klabu’ anayotokea mchezaji huyo pauni milioni 20 kwa ajili ya kumchukua beki huyo mwenye umri wa miaka 20.
Hata hivyo, mchezaji huyo raia wa Brazil inadaiwa yuko njiani kueleke Paris kwa ajili ya kusaini mkataba huo wa muda mrefu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live