Thu, 3 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tovuti ya Sky Sports imeripoti kwamba Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania inamtolea macho Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta kuwa mkufunzi wao mpya.
Tovuti ya Sky Sports imeripoti kwamba Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania inamtolea macho Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta kuwa mkufunzi wao mpya. Barcelona inapitia kipindi kigumu baada ya kuondolewa hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live