Tue, 5 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inasemekana kuwa Mtendaji Mkuu wa Azam FC Abdulkarim Nurdin yupo kwenye mazungumzo na Kiungo Mkabaji raia wa Senegal Ibrahima Seck (34) ili kuweza kumleta Azam katika dirisha dogo la usajili.
Inasemekana kuwa Mtendaji Mkuu wa Azam FC Abdulkarim Nurdin yupo kwenye mazungumzo na Kiungo Mkabaji raia wa Senegal Ibrahima Seck (34) ili kuweza kumleta Azam katika dirisha dogo la usajili. Azam wanaonekana kutaka kuimarisha kikosi chao kwa lengo la kusaka Ubingwa wa Ligi baada ya kuukosa kwa miaka mingi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live