Thu, 27 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tarehe kama ya leo mwaka 1992, Mshambuliaji kinda na anayechipukia vyema wa Southampton anayekwenda kwa jina la Alan Shearer ananunuliwa na Blackburn Rovers kwa ada ya uhamisho ya Pauni 3.6m (Sh 11.4bilioni), ambayo kwa wakati huo iliweka Rekodi ya usajili kati ya klabu za England.
Shearer alifanikiwa kubeba ndoo ya Ligi Kuu England akiwa na timu ya Blackburn Rovers.
Alan Shearer ndio mfungaji bora wa muda wote wa Ligi Kuu England akiwa na mabao 260.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live