Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TANZIA: Kocha Yanga afariki Dunia

Sam Timbe Afariki Sam Timbe

Sat, 19 Aug 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kocha wa zamani wa Yanga,raia wa Uganda Sam Timbe amefariki dunia mchana wa leo baada ya kuugua ghafla na mauti yakamfika wakati anapelekwa hospitali.

Mpaka mauti yanamfika,Timbe alikuwa kocha wa URA na jana alikiongoza kikosi kufanya mazoezi kabla ya leo kufariki dunia.

Sam Timbe Maarufu kama kocha wa mataji,alipita Yanga na kushinda ubingwa Kagame na ubingwa wa Ligi kuu msimu wa 2010 / 2011 kisha akatimuliwa.

Tanzaniaweb tutakuletea taarifa kwa kina kuhusiana na tukio hilo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: