Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Ahmed Breik amefariki dunia leo Desemba 11, 2023 nyumbani kwake eneo la Majengo, Mombasa baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kiungo wa zamani wa timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars), Ahmed Breik amefariki dunia leo Desemba 11, 2023 nyumbani kwake eneo la Majengo, Mombasa baada ya kuugua kwa muda mrefu. Ahmed Breik alichezea Feisal FC, Mombasa Combined na timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live