Wed, 13 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinda mlango wa klabu ya Legon Cities FC ya Nchini Ghana, Sylvester Sackey raia wa Ghana amefariki Dunia jana Septemba 12, 2023 akiwa na umri wa miaka 26 baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Mlinda mlango wa klabu ya Legon Cities FC ya Nchini Ghana, Sylvester Sackey raia wa Ghana amefariki Dunia jana Septemba 12, 2023 akiwa na umri wa miaka 26 baada ya kuugua kwa muda mfupi. Taarifa ya klabu hiyo imebainisha kuwa Sackey alikuwa kuwa mchezaji wa klabu hiyo kwa kipindi cha misimu minne iliyopita na alikuwa golikipa namba moja wa timu hiyo kwa sehemu kubwa ya misimu miwili iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live