Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa zamani wa Klabu ya Dodoma Jini na Yanga ambae kwa sasa anakipigia Singida Fountain Gate,Dickson Ambundo amepatwa na msiba wa kufiwa na Baba yake Mzazi Mzee,Isack Ambundo.
Tanzaniaweb tunaungana na Mchezaji huyo katika kipindi hiki kigumu anachopitia kwa sasa.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live