Sat, 17 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Habari wa Mawasiliano wa klabu ya Simba, Ahmed Ally amefiwa na baba yake Mzazi 'Mzee Ally' usiku wa kuamkia leo Jumamosi, Juni 17, 2023.
Ahmed amesema msiba upo nyumbani kwao maeneo ya Yombo, Dares Salaam, mazishi yanatarajiwa kufanyika Saa 10 jioni ya leo.
Mwenyezi Mungu awape nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live