Mon, 26 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa zamani wa England, Sven- Goran Eriksson raia wa Sweden amefariki Dunia leo Agosti 26, 2024 akiwa na umri wa miaka 76 baada ya kusumbuliwa na saratani ambayo haiwezi kupatiwa matibabu ya aina yoyote kwa vile ilishasambaa katika sehemu nzima ya mwili wake.
Meneja wa zamani wa England, Sven- Goran Eriksson raia wa Sweden amefariki Dunia leo Agosti 26, 2024 akiwa na umri wa miaka 76 baada ya kusumbuliwa na saratani ambayo haiwezi kupatiwa matibabu ya aina yoyote kwa vile ilishasambaa katika sehemu nzima ya mwili wake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live