Sat, 25 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Salum Abubakar "Sure boy" anmetambulishwa rasmi ndani ya Kikosi cha Yanga baada ya uvumi wa wiki kadhaa kuwa anakwenda Yanga.
Kiungo Salum Abubakar "Sure boy" anmetambulishwa rasmi ndani ya Kikosi cha Yanga baada ya uvumi wa wiki kadhaa kuwa anakwenda Yanga. Sure boy alikuwa akiitumikia Azam FC na hivi karibuni aliingia kwenye mgogoro na uongozi wa Klabu hiyo na kusimamishwa kwa miezi kadhaa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live