Tue, 7 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kauli ya Luis Suárez kwa nahodha wa Brazil Neymar kuhusu kutokuwa na tuzo ya Ballon D’Or
“Wakati Neymar anatuambia anataka kwenda PSG mimi na Messi tulimwambia kama unataka kushinda kila kitu baki hapa [Barcelona] au nenda Man City hizo ndio sehemu nzuri kwa kipaji chako “
“Naamini kama angebaki na sisi Barcelona sasa hivi angekuwa na Ballon D’Or “
Umemuelewa Luis Suarez?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live